Kaunti

ONYO LATOLEWA KWA WAZAZI WA ENEO BUNGE LA MALINDI

Msaidizi wa naibu wa kamishna wa eneo la Malindi kaunti ya Kilifi, Angela Wanyama amewaonya wazazi wa Malindi dhidi ya kuwaruhusu watoto wao kuhudhuria hafla za Disco matanga nyakati za usiku. Kulingana na Wanyama kuwepo kwa Disco matanga katika jamii kumeathiri zaidi matokeo ya wanafunzi, wanaosoma katika taasisi mbalimbali za elimu mjini Malindi na kaunti […]

ONYO LATOLEWA KWA WAZAZI WA ENEO BUNGE LA MALINDI Read More »

SAMSON ZIA ALALAMIKIA KUTOKUKAMILIKA KWA UJENZI WA VITUO VINGI VYA AFYA WADI YA ADU

Mwakilishi wa wadi ya Adu eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi, Samsson Zia amelalamikia kutokamilika kwa ujenzi wa vituo vingi vya afya katika wadi yake na kusema inasababisha wenyeji kukosa huduma za matibabu. Kulingana na Zia ujenzi wa kituo cha afya cha Shakahola, Adimae Adu na Chakama, ulisitishwa mwaka wa kifedha wa 2015 –

SAMSON ZIA ALALAMIKIA KUTOKUKAMILIKA KWA UJENZI WA VITUO VINGI VYA AFYA WADI YA ADU Read More »