Kaunti

KAMATI YA MISWADA KATIKA BUNGE LA SENETI YAFANYA KIKAO NA WAWAKILISHI WADI KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI.

Kamati ya sheria andalizi ikiongonzwa na mwenyekiti wake ambaye ni  seneta wa Tharaka Nithi Sen. Mwenda Gataya, imepongeza bunge la kaunti ya Kilifi kwa kufuata sheriza muhumu za utoazaji kodi wananchi wa kaunti ya kilifi. Akizungumza baada ya kufanya kikao na wawakilishi wadi kwenye bunge hilo, mwenyekiti huyo amesisitiza haja ya hamasa zaidi kwa viongozi […]

KAMATI YA MISWADA KATIKA BUNGE LA SENETI YAFANYA KIKAO NA WAWAKILISHI WADI KWENYE BUNGE LA KAUNTI YA KILIFI. Read More »

VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA MERU WATAKIWA KUDUMISHA UMOJA.

Viongozi wa kaunti ya Meru wamesisitizwa kudumisha umoja kati yao na kuhakikisha kuwa jamii za eneo hilo zinaishi kwa amani. Ni wito ambao umetolewa na rais William Ruto, katika kikao na viongozi wa kisiasa eneo hilo, ambapo amewasisitiza kusaidiana katika kuwaleta wananchi wa eneo hilo pamoja. Rais Ruto amesema kuwa hatua yao, kudumisha umoja itawasaidia

VIONGOZI WA KISIASA KAUNTI YA MERU WATAKIWA KUDUMISHA UMOJA. Read More »

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATAUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI KAUNTI YA TANA RIVER.

Wito umetolewa kwa viongozi wa kitaifa kushirikiana na wale walioko katika kaunti ya Tana River ili kutatua changamoto za kiusalama eneo hilo. Wakiongozwa na gavana wa kaunti hiyo Dhadho Godana wamesema kuwa kuna haja ya serikali kutatua vita vya mara kwa mara katika kaunti hiyo. Gavana huyo amelalamikua suala la wananchi kuwawa na rasilimali zao

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUTATAUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »