WANAWAKE KAUNTI YA MOMBASA WASISITIZWA KURIPOTI VISA VYA DHULMA DHIDI YAO.
Wanawake kaunti ya Mombasa wamewaonya dhidi ya kuvumilia dhulma wanazofanyiwa na waume zao kwenye ndoa. Kulingana na mwakilishi wa kike kaunti ya Mombasa Zamzam Mohamed, akina mama wanapaswa kujitokeza na kuripoti visa vya dhulma za kijinsia, vinavyo tekelezwa dhidi yao, ili hatua za kisheria zichukuliwe na wanahusika waadhibiwe. Akizungumza katika kaunti hiyo, mwakilishi huyo wa […]
WANAWAKE KAUNTI YA MOMBASA WASISITIZWA KURIPOTI VISA VYA DHULMA DHIDI YAO. Read More »



