Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YAKOSOLEWA KWA KUKATA MITI ILIYOKO KWENYE BUSTANI YA UHURU.

Maseneta wa kaunti ya Mombasa wamemsuta vikali gavana wa kaunti hiyo Abdulswamad Shariff Nassir, kwa kukata miti iliyodumu kwa miaka mingi katika bustani ya Uhuru kwenye jiji kuu ya Mombasa. Wakiongozwa na seneta mteule Mirajj Abdulahi, wamesema kuwa zoezi hilo halikufuata sheria hitajika kwa mujibu wa katiba, hasa kipengele kinacho sisitiza haja ya wananchi kuhusishwa […]

SERIKALI YA KAUNTI YA MOMBASA YAKOSOLEWA KWA KUKATA MITI ILIYOKO KWENYE BUSTANI YA UHURU. Read More »

WALIMU 482 KAUNTI YA GARISSA WAKOSA KUPANDISHWA CHEO NA TUME YA KUAJIRI WALIMU NCHINI TSC.

Muungano wa walimu KNUT kaunti ya Garissa umekashifu vikali hatua ya tume ya kuajiri walimu nchini TSC, kubatilisha hatua ya kupandisha vyeo walimu 482. Katibu wa muungano huo kaunti hiyo Abdilrazak Hussein, amesema hatua hiyo imevunja moyo walimu katika kuendeleza kazi zao kaunti hiyo, ikizingatiwa kuwa wanakabiliwa na changamoto nyingi za kiusalama. Hussein amesema kuwa

WALIMU 482 KAUNTI YA GARISSA WAKOSA KUPANDISHWA CHEO NA TUME YA KUAJIRI WALIMU NCHINI TSC. Read More »

UKOSEFU WA SODO WAATHIRI MASOMO KAUNTI YA TAITA TAVETA.

Kaunti ya Taita Taveta imejiunga na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha siku ya hedhi duniani. Waziri wa jinsia katika kaunti hiyo Shedrak Mutungi amesema kuwa idadi kubwa ya wanafunzi katika kaunti hiyo, wameendelea kupitia changamoto ya ukosefu wa sodo katika siku zao za hedhi. Waziri Mutungi, ameelezea kuwa wanafunzi wengi wamekuwa wakikosa kuhudhuria masomo shuleni, kufuatia

UKOSEFU WA SODO WAATHIRI MASOMO KAUNTI YA TAITA TAVETA. Read More »