SUKARI GHUSHI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MOJA YA NASWA KAUNTI YA KWALE.
Maafisa wa Ukusanyaji ushuru Nchini (KRA) wamenasa lori, lililokuwa likisafirisha magunia 144 ya sukari, kwa njia haramu, katika mpaka wa Lunga Lunga kaunti ya Kwale. Baada ya kupokea habari za kijasusi, maafisa wa forodha walisimamisha lori hilo lenye nambari za usajili za kigeni na kupata sukari ambayo haikuwa imekaguliwa. Lori hilo Lilipopekuliwa kwa kina, magunia […]
SUKARI GHUSHI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI MOJA YA NASWA KAUNTI YA KWALE. Read More »



