Kaunti

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATEUA UPYA WAZIRI WA BARABARA.

Aliyekuwa afisaa mkuu wa barabara kaunti ya Kilifi, Philip Charo ametauliwa kuhudumu katika nafasi ya katibu wa serikali ya kaunti ya Kilifi na waziri wa barabara kaunti hii. Uteuzi wa Charo, umefanyika baada ya aliyekuwa waziri wa barabara hapa kaunti ya Kilifi, Catherine Kenga, kuchaguliwa na wawakilishi wadi kaunti ya Kilifi, kuhudumu katika nafasi ya […]

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATEUA UPYA WAZIRI WA BARABARA. Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA YAANZISHA MIKAKATI YA KUKABILIANA DHULMA ZA KIJINSIA.

Kufuatia ongezeka la visa vya dhulma hasa kwa watoto na wanawake kaunti ya Taita Taveta, serikali ya kaunti hiyo imeandaa kongamano la kujadili mbinu za kukabili suala hilo mjini Voi. Gavana wa kaunti hiyo Andrew Mwadime, amesema kuwa visa vya dhulma za kijinsia hasa kwa wanawake na watoto kaunti ya Taita Taveta, vimeendelea kukithiri kila

SERIKALI YA KAUNTI YA TAITA TAVETA YAANZISHA MIKAKATI YA KUKABILIANA DHULMA ZA KIJINSIA. Read More »