Kaunti

BUNGE LA KAUNTI YA TAITA TAVETA LAADHIBU WAWAKILISHI WADI WAWILI KWA KUWAONDOA MAMLAKANI.

Kaimu Spika wa bunge la kaunti ya Taita Taveta Anselim Mwadime ametangaza viti vya wawakilishi wadi ya Mboghoni mjini Taveta na Wadi ya Rong’e mjini Mwatate kuwa wazi. Kulingana na Mwadime, wawakilishi wadi hao ambao ni Dorcus Mlughu na Khalifa Taraya, wamekosa kuhudhuria vikao vinane vya bunge, hivyo hawapaswi kuendelea kuwa wanachama wa bunge hilo […]

BUNGE LA KAUNTI YA TAITA TAVETA LAADHIBU WAWAKILISHI WADI WAWILI KWA KUWAONDOA MAMLAKANI. Read More »

WANAKANDARASI WAONYWA DHIDI YA ULEGEVU KATIKA UTEKELEZWAJI WA MIRADI YA SERIKALI KUU.

Wanakandarasi nchini wameonywa dhidi ya kutokamilisha miradi ya serikali ya kitaifa kwa wakati. Waziri wa madini na uchumi wa rasilimali ya bahari na maziwa nchini Ali Hassan Joho, amesema kuwa idadi kubwa ya miradi inayo anzishwa na serikali, imekuwa ikikawia kukamilika, pasi na sababu zozote za kimsingi. Akizungumza katika kaunti ya Kwale, kwenye ziara ya

WANAKANDARASI WAONYWA DHIDI YA ULEGEVU KATIKA UTEKELEZWAJI WA MIRADI YA SERIKALI KUU. Read More »

WATU ZAIDI WABAINIKA KUENDELEZA IMANI POTOFU YA MUHUBIRI TATA PAUL MACKENZIE

Makaburi mengine manne yamepatikana katika kijiji cha Binzaro, kaunti ya Kilifi. Matukio hayo yamezua taharuki huku polisi na wakazi wakihofia kuwa huenda wafuasi zaidi wa dhehebu potovu katika eneo hilo wamefariki. Wizara ya usalama inasema kuwa imetibua kuenea kwa dhehebu hilo ambalo linakisiwa kuandamana na mafunzo ya itikadi kali kama ilivyoshuhudiwa katika msitu wa Shakahola

WATU ZAIDI WABAINIKA KUENDELEZA IMANI POTOFU YA MUHUBIRI TATA PAUL MACKENZIE Read More »