Kaunti

WIZARA YA UCHUKUZI YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA VISA VYA AJALI ZA NDEGE ZA MALINDI KAUNTI YA KILIFI.

Mbunge wa Malindi kaunti ya Kilifi, Amina Mnyazi ameitaka wizara ya uchukuzi, kupitia kamati yake kwenye bunge la kitaifa, kuweka wazi mikakati iliyoko, katika kupunguza visa vya ajali za ndege kwa wanafunzi wanao somea urubani. Kulingana na Mnyazi, licha ya kuwepo kwa uchunguzi kuhusiana na chanzo cha ajili ya ndege, iliyosababisha vifo vya watu wawili […]

WIZARA YA UCHUKUZI YATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA VISA VYA AJALI ZA NDEGE ZA MALINDI KAUNTI YA KILIFI. Read More »

WAUMINI WA KANISA LA NEW FOUNDATION WAKWEA “MTI WA UZIMA” ILI KUPATA SULUHU LA MATATIZO YAO.

Idara ya usalama katika kaunti ya Kilifi imemkata mchungaji wa kanisa la New Foundation, Abel Kahindi Gandi katika eneo la Chakama kule Magarini kaunti ya Kilifi, ambapo waumini wa kanisa hilo, wanadaiwa kupoteza maisha katika hali tatanishi, wakati wakiendelea kupokea huduma za mchungaji huyo. Naibu kamishna eneo bunge la Kilifi Kaskazini, Samuel Mutisya ambaye ameongoza

WAUMINI WA KANISA LA NEW FOUNDATION WAKWEA “MTI WA UZIMA” ILI KUPATA SULUHU LA MATATIZO YAO. Read More »

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO.

Upasuaji wa maiti ya mwakilishi wadi wa Kariobangi Kaskazini, kaunti ya Nairobi, Joel Munuve, utafanyika leo katika juhudi za kutaka kubaini kiini cha kifo chake. Familia ya marehemu mwanasiasa huyo, kupitia kwa wakili Dunston Omari, ilitaka upasuaji kufanyika ili kuondoa uvumi unaozagaa kuhusiana na chanzo cha kifo chake. Idara ya DCI pia, imeingilia kati uchunguzi

FAMILIA YA MAREHEMU MWAKILISHI WADI YA KARIOBANGI KASKAZINI KAUNTI YA NAIROBI YASUBURU UPASUAJI KUFANYIKA LEO. Read More »