VIONGOZI WA NYANZA WAMSIFIA KALONZO MUSYOKA
Viongozi wa Nyanza wamemsifia kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka kwa kusimama kwa muda mrefu na kinara wa ODM, Raila Odinga. Wakiongozwa na gavana wa Siaya James Orengo viongozi hao wamemsifia Kalonzo kwa ukakamavu wake katika kuamini uongozi wa Raila licha ya kupokea pingamizi kutoka kwa baadhi ya wanasiasa wa ukambani ambao hawakutaka Kalonzo amuunge mkono […]
VIONGOZI WA NYANZA WAMSIFIA KALONZO MUSYOKA Read More »



