Kaunti

KAMISHNA WA TAITA TAVETA ASEMA WANATARAJIA KUPOKEA MSAADA WA CHAKULA

Kamishna wa kaunti ya Taita Taveta Loyford Kibaara amesema kuwa wanatarajia kuanza kupokea chakula cha msaada kutoka kwa serikali kuu. Amesema chakula hicho kitakabidhiwa wale ambao wameathirika na baa la njaa katika kaunti hiyo. Akizungumza katika kaunti hiyo amezitaka kamati ambazo zitashughulikia ugavi wa chakula hicho kukakikisha kinapewa walengwa bila kumbagua yeyote. Aidha, amesema viongozi […]

KAMISHNA WA TAITA TAVETA ASEMA WANATARAJIA KUPOKEA MSAADA WA CHAKULA Read More »

UJENZI WA MABWAWA MBALIMBALI UNAENDELEZWA KAUNTI YA KWALE

Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani amesema tayari serikali kuu imewasilisha chakula cha msaada kwa wenyeji ambao wanaendelea kukabiliwa na baa la njaa. Fatuma amesema chakula hicho kitasaidia kwa kiasi Fulani kudhibiti baa hilo, mikakati kabambe inapoendelea kuwekwa na serikali ya kaunti ili kutatua hali hiyo. Gavana huyo amesema wanaendeleza ujenzi wa mabwawa mbalimbali

UJENZI WA MABWAWA MBALIMBALI UNAENDELEZWA KAUNTI YA KWALE Read More »

IRUNGU MACHARIA AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUSHIRIKIANA NA MAGAIDI

Kamishna wa kaunti ya Lamu Irungu Macharia amesema mikakati thabiti imewekwa na asasi za usalama katika kaunti hiyo ili kudhibiti visa vyovyote vya utovu wa usalama. Katika hotuba yake kwa wenyeji wa kaunti hiyo, Macharia amewaonya magaidi wa Al – Shabaab ambao wanapania kutekeleza mashambulizi kwenye kaunti hiyo na kusema idara ya usalama imejiandaa katika

IRUNGU MACHARIA AWAONYA WENYEJI DHIDI YA KUSHIRIKIANA NA MAGAIDI Read More »