KESI ZA KUNAJISIWA WA WATOTO KATI YA UMRI WA MIAKA 16 HADI 18 ZIMERIPOTIWA KWENYE MAHAKAMA YA KILIFI
Hakimu mkaazi mwandamizi katika mahakama ya Kilifi kaunti ya Kilifi Daniel Sitati Sifuma, amesema kesi za kunajisiwa kwa watoto kati ya umri wa miaka 16 hadi 18 zimeripotiwa katika mahakama hiyo kinyume na hapo awali ambapo kesi nyingi zilihusisha watoto wenye umri wa chini ya miaka 10. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa siku ya kuanza […]



