SENETA DANSON MUNGATANA AITAKA JUMUIYA YA KAUNTI ZA PWANI KUWEKEZA TANA RIVER
Seneta wa kaunti ya Tana River Danson Mungatana ameitaka jumuiya ya kaunti za pwani kuwekeza pakubwa katika kaunti ya Tana River kama vile inavyowekeza katika kaunti zengine ukanda wa pwani. Akizumgumza mjini Hola kaunti ya Tana River kwenye kongamano la nne la uchumi wa raslimali za baharini (BLUE ECONOMY) Mungatana amesema kunapaswa kuwa na miradi […]
SENETA DANSON MUNGATANA AITAKA JUMUIYA YA KAUNTI ZA PWANI KUWEKEZA TANA RIVER Read More »



