Kaunti

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO

Afisa ambaye anashughulikia masuala ya dhuluma za kijinsia kwenye kituo cha Polis cha Hindi kaunti ya Lamu Esther Jeffa ametoa wito kwa wazazi eneo hilo kufuatilia mienendo ya watoto wao hasa wakati huu wako kwenye likizo ndefu ya mwezi Disemba. Amesema wazazi wanapaswa kuwa karibu na watoto wao ili kuwadhibiti dhidi ya visa vya dhuluma […]

HIMIZO LATOLEWA KWA WAZAZI ENEO LA HINDI KUFUATILIA MIENENDO YA WATOTO WAO Read More »

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI

Gavana wa kaunti ya Tana River Dhadho Godhana amesema kongamano la nne la uchumi wa raslimali za baharini limekuwa lenye manufaa mengi. Kulingana na Dhadho kongamano hilo la siku tatu ambalo lilikamilika siku ya Jumamosi eneo la Hola kaunti ya Tana River limewavutia washiriki wa kitaifa na kimataifa. Amesema kongamano hilo limetoa fursa nzuri za

GAVANA DHADHO GODHANA APONGEZA KONGAMANO LA NNE LA UCHUMI WA RASLIMALI ZA BAHARINI Read More »

KASSIM SAWA TANDAZA AKOSOA HALI YA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YA WANAKANDARASI KAUNTI YA KWALE

Mbunge wa Matuga kaunti ya Kwale, Kassim Sawa Tandaza amekosoa hali ya kucheleweshwa kwa malipo ya baadhi ya wanakandarasi wanaotekeleza kandarasi ambazo wanapewa na serikali ya kitaifa. Tandaza ambaye alikuwa akizungumza bungeni alipokuwa akiunga mkono sheria ya usimamizi wa fedha za umma, ametaka mradi wa Dongo Kundu ambao umebakisha asilimia 6 kukamilika ila mwanakandarasi hajalipwa

KASSIM SAWA TANDAZA AKOSOA HALI YA KUCHELEWESHWA KWA MALIPO YA WANAKANDARASI KAUNTI YA KWALE Read More »