Kaunti

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI

Idadi kubwa ya akina mama kaunti ya Kilifi inadaiwa kutohudhuria vikao vya kutoa maoni kuhusiana na miradi ya serikali ya kaunti, kutokana na kile ambacho kinadiwa nakala zinazotumika katika vikao hivyo huchapishwa kwa lugha ya kingereza. Haya ni kwa mujibu wa mwanaharakati wa kutetea haki za watoto pamoja na wanawake kaunti ya Kilifi, Helda Lamek

IDADI KUBWA YA KINA MAMA YADAIWA KUTOHUDHURIA VIKAO VYA KUTOA MAONI Read More »

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA

Gavana wa Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amewaonya wafanyibiashara wote wa miraa kaunti ya mombasa kuhakikisha kuwa hawafanyibiashara hizo karibu na taasisi za kielimu. Akizungumza katika sherehe za Jamhuri kwenye bustani ya Mamangina kaunti hiyo ya Mombasa Nassir amesema vijana wengi wenye umri mdogo wameishia kuwa waraibu wa bidhaa hiyo licha ya kuwa wao bado ni

WAFANYABIASHARA WA MIRAA KAUNTI YA MOMBASA WAONYWA Read More »