Kaunti

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA

Aliyekuwa mbunge wa eneo bunge la Kinango kaunti ya Kwale Benjamin Dalu Tayari ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa mamlaka ya bandarini nchini KPA. Katika taarifa kwenye gazeti rasmi la serikali waziri wa barabara na uchukuzi nchini Kipchumba Murkomen amemteua Benjamini Dalu Tayari kwenye wadhifa huo kwa muda wa miaka 3. Anachukua wadhifa […]

BENJAMIN DALU TAYARI ATEULIWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA KPA Read More »

NERO ANAAMINI MSIMU UJAO YUPO DARAJA LA KWANZA KITAIFA

Mkufunzi wa Furunzi FC Nero Chishenga ameeleza imani kwamba atasajili ushindi wa pili katika ligi ya daraja la pili kitaifa vijana wake watakapokuwa wanashuka dimbani kesho dhidi ya klabu ya kishada katika uwanja wa Alaskan, uwanja uliopo mjini malindi kaunti ya Kilifi. Akizungumza na tama la spoti jioni ya leo katika uwanja wa mazoezi ulioko

NERO ANAAMINI MSIMU UJAO YUPO DARAJA LA KWANZA KITAIFA Read More »