Kaunti

SERIKALI KUU YATAKIWA KUHIFADHI ARDHI ZOTE ZENYE UTATA KAUNTI YA LAMU

Wanaharakati wa maswala ya kijamii kaunti ya Lamu wameitaka serikali ya kitaifa kuhifadhi ardhi zote zinazokumbwa na utata wa umiliki katika kaunti hiyo. Wakiongozwa na Abdulwahid Mohamed, wanaharakati hao wamesema kuwa sehemu kubwa ya ardhi katika wadi ya Mkunumbi imegubikwa na kesi zilizowasilishwa mahakamani. Kufuatia hilo, Abdulwahid ameshinikiza serikali kutoa uhifadhi wa ardhi zote zenye […]

SERIKALI KUU YATAKIWA KUHIFADHI ARDHI ZOTE ZENYE UTATA KAUNTI YA LAMU Read More »

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI

Asilimia kubwa ya vijana kaunti ya Taita Taveta hukosa kujiunga na vyuo vikuu na vyuo kiufundi baada ya kukamilisha kidato cha nne. Haya ni kwa mujibu wa naibu gavana kaunti hiyo Christine Kilalo ambaye amesema kuwa idadi hiyo kubwa hushindwa kujiendeleza kimasomo kufuatia ukosefu wa karo. Kilalo sasa amewashauri vijana hao waliomaliza kidato cha nne

IDADI KUBWA YA VIJANA KAUNTI YA TAITA TAVETA HUSHINDWA KUJIUNGA NA VYUO VYA KIUFUNDI Read More »

WITO WATOLEWA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KIKIWEZESHA KIFEDHA KITUO CHA KUSAMBAZA MAJI YA KAMBICHA

Afisa msimamizi wa kituo cha usambazaji maji cha Kambicha, Magarini kaunti ya Kilifi Rajab Kazungu amesisitiza haja ya serikali ya kaunti ya Kilifi kukiwezesha kifedha kituo hicho. Kazungu amesema kuwa hatua hiyo itawawezesha kugharamia ada za nguvu za umeme sawia na kulipa wafanyikazi kwenye kituo hicho mbali na kuboresha huduma za usambazaji maji katika eneo

WITO WATOLEWA KWA SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI KIKIWEZESHA KIFEDHA KITUO CHA KUSAMBAZA MAJI YA KAMBICHA Read More »