Kaunti

FAMILIA YA RITA PILI MWANAFUNZI KUTOKA KASUFINI YAHOFIA HUENDA AKAKOSA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

Familia moja eneo la Kasufini, Shella, kaunti ndogo ya Malindi kaunti ya Kilifi inahofia kuwa huenda mwana wao akakosa kutimiza ndoto zake za kujiendeleza kimasomo kutokana na hali ya uchochole unayowakumba. Wakiongozwa na Mapenzi Katana wanafamilia hao wamesema kuwa hawana uwezo wa kumfikisha msichana wao katika shule ya upili aliyoitwa ya Lirhanda kule kaunti ya […]

FAMILIA YA RITA PILI MWANAFUNZI KUTOKA KASUFINI YAHOFIA HUENDA AKAKOSA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »

HOSPITALI ZA KAUNTI YA KILIFI ZAPOKEA VIFAA VYA MATIBABU

Ni afueni kwa Hospitali za kaunti ya Kilifi baada ya Serikali ya kaunti ya Kilifi kupokea vifaa zaidi vya matibabu kutoka kwa serikali ya Hungary. Akizungumza baada ya kutoa ufadhili wa vifaa hivyo, Balozi wa Hungary Nchini Kenya Zsolt Meszaros amesema vifaa hivyo vimegharimu takriban shillingi millioni tano na vitsaidia zaidi katika sekta ya maabara

HOSPITALI ZA KAUNTI YA KILIFI ZAPOKEA VIFAA VYA MATIBABU Read More »

IDARA YA ELIMU TAITA TAVETA YASEMA ITAHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA DARASA LA 8 WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA

Mkurugenzi mkuu wa idara ya elimu eneo bunge la Taveta kaunti ya Taita Taveta Hassan Abdulraman amesema watahakikisha wanafunzi wote ambao walimaliza masomo ya darasa la 8 mwaka jana wa 2022 wanajiunga na shule za upili mwaka huu wa 2023. Kulingana na Hassan kila mtoto ana haki ya kusoma na kuwataka wazazi kwenye eneo hilo

IDARA YA ELIMU TAITA TAVETA YASEMA ITAHAKIKISHA WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA DARASA LA 8 WANAJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA Read More »