Kaunti

BAADHI YA WAKAZI WA KILIFI MJINI WASEMA MTAALA WA CBC ULIPASWA KUPIGWA MSASA KABLA YA KUTEKELEZWA

Baadhi ya wazazi Kilifi Mjini kaunti ya Kilifi  wamelalamika kuwa mtaala wa umilisi wa CBC bado ulipaswa kuangaziwa kwa kina kabla ya kutekelezwa. Wazazi hao wamesema kuwa serikali haijajipanga kufanikisha mtaala huu hasa katika shule za mashinani kwani bado zina miundo msingi duni. Kufuatia hilo wazazi hao wanahofia kuwa huenda kukawa na wingi wa changamoto […]

BAADHI YA WAKAZI WA KILIFI MJINI WASEMA MTAALA WA CBC ULIPASWA KUPIGWA MSASA KABLA YA KUTEKELEZWA Read More »

KATIBU WA KUPPET KAUNTI YA KILIFI AMTAJA MAGOHA KAMA KIONGOZI ALIYEIMARISHA SEKTA YA ELIMU

Katibu wa muungano wa   walimu KUPPET kaunti ya KIlifi, Risper Awinja amemtaja aliyekuwa Waziri wa elimu nchini Prof. George Magoha kama kiongozi ambaye alichangia kwa asilimia kubwa kuboresha sekta ya elimu nchini. Risper ambaye ameeleza kusikitishwa na Kifo cha Magoha ambacho kilitokea jana Jioni kutokana na kile kinachosemekana kusababishwa na Mshtuko wa moyo, amesema Magoha

KATIBU WA KUPPET KAUNTI YA KILIFI AMTAJA MAGOHA KAMA KIONGOZI ALIYEIMARISHA SEKTA YA ELIMU Read More »

SERIKALI KUU YATAKIWA KUFIKISHA FEDHA ZA KUFANIKISHA MASOMO YA CBC

Mwenyekiti muungano wa walimu  KNUT tawi la kilindini kaunti ya Mombasa Ahmed Kombo Ahmed amesema kuna haja ya serikali kufikisha fedha za kufanikisha masomo ya mfumo mpya wa elimu wa umilisi CBC kwa haraka ili kuhakikisha shule zinafikia malengo. Kombo ametaja kuwa shule nyingi za kibinafsi ndizo zilizofikia vigezo vilivyowekwa na serikali kwa mujibu wa

SERIKALI KUU YATAKIWA KUFIKISHA FEDHA ZA KUFANIKISHA MASOMO YA CBC Read More »