BAADHI YA WAKAZI WA KILIFI MJINI WASEMA MTAALA WA CBC ULIPASWA KUPIGWA MSASA KABLA YA KUTEKELEZWA
Baadhi ya wazazi Kilifi Mjini kaunti ya Kilifi wamelalamika kuwa mtaala wa umilisi wa CBC bado ulipaswa kuangaziwa kwa kina kabla ya kutekelezwa. Wazazi hao wamesema kuwa serikali haijajipanga kufanikisha mtaala huu hasa katika shule za mashinani kwani bado zina miundo msingi duni. Kufuatia hilo wazazi hao wanahofia kuwa huenda kukawa na wingi wa changamoto […]


