Kimataifa

LIGI ZITAANZA MWISHO WA MWEZI WA JANUARI – MWABATI

Mwekahazina wa shirikisho la soka la FKF tawi la eneo bunge la Malindi Jonson Mwabati amehakikishia vilabu vya mashinani kwamba masimu mpya wa ligi hiyo utaanza rasmi mwishoni mwa mwezi huu wa Januari. Akizungumza na tama la spoti jana katika uwanja wa shule ya upili ya wavulana ya Malindi alisema kwamba kwa sasa vilabu vingi […]

LIGI ZITAANZA MWISHO WA MWEZI WA JANUARI – MWABATI Read More »

MESSI NA MBAPPE WAORODHESHWA KATIKA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA FIFA

Bingwa wa mashindano ya kombe la dunia Lionel Messi pamoja na mwenzake wa Paris SG Kylian Mbappe wamewekwa katika orodha washindani wa tuzo la mchezaji bora wa mwaka 2022 na shirikisho la soka duniani fifa. Messi ambaye ashawahi shinda tuzo hiyo awali, mwaka jana aliisaidia timu yake ya argentina kuwania ubingwa wa kombe la dunia 

MESSI NA MBAPPE WAORODHESHWA KATIKA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA MWAKA WA FIFA Read More »

Odegaard na Mikel Arteta washinda tuzo za mwezi Disemba Uingereza

Martin Odegaard kiungo anayechezea klabu ya Arsenal amewapiku nyota wanane wa ligi kuu nchini uingereza na kushinda tuzo ya mchezaji bora mwezi November na December mwaka jana. Odegaard alishinda kura nyingi za mashabiki na kushinda tuzo hiyo baada ya kufunga mabao 3 na kusaidia ufungaji wa mabao 3 yaliosaidia Arsenal kufanya vyema katika ligi kuu

Odegaard na Mikel Arteta washinda tuzo za mwezi Disemba Uingereza Read More »