Kimataifa

HII NDIO SABABU ONANA HAKUCHEZA MECHI YA KWANZA AFCON

Mkufunzi mkuu  wa timu ya taifa ya Cameroon Rigobert Song amethibitisha kuwa  ilikuwa vigumu kwa Andre Onana kucheza kwenye mechi ya AFCON dhidi ya Guinea jana mechi yao ya kwanza katika mashindano hayo. Ameeleza kipa huyo wa Manchester United aliwasili kambini Ivory Coast kama alichelewa. Yote ikitokana na safari yake ya ndege kuwa na changamoto

HII NDIO SABABU ONANA HAKUCHEZA MECHI YA KWANZA AFCON Read More »

ONANA KUTOCHEZA MECHI MBILI NDANI YA MASAA 24 TOFAUTI NA TAARIFA!

Kipa nambari moja wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Cameroon Andree Onana anatarajiwa kukosa mechi ya kwanza ya Afcon wakati timu yake ya taifa itakuwa inacheza dhidi ya timu ya taifa ya Guinea. Onana atakosa mechi hiyo baada ya kukubali kucheza mechi ya ligi katika klabu ya Manchester United jana dhidi

ONANA KUTOCHEZA MECHI MBILI NDANI YA MASAA 24 TOFAUTI NA TAARIFA! Read More »