Kimataifa

WAKUFUNZI WATATU WAKUBWA WATAJWA KUMRITHI XAVI HERNANDEZ BARCA

Mkufunzi wa sasa wa klabu ya Arsenal Mikel Arteta  ni kati ya wakufunzi ambao wanafuatiliwa kurithi mikoba ya Xavi Hernandez wa klabu ya Barcelona ambaye analenga kujiuzulu mwisho wa msimu huu. Arteta sasa anaungana na mkufunzi Jergen Klopp anayeachana na Liverpool mwisho wa msimu pamoja na Julian Nageslman ambao wanawania nafasi hiyo. Hayo yanajiri taarifa

WAKUFUNZI WATATU WAKUBWA WATAJWA KUMRITHI XAVI HERNANDEZ BARCA Read More »

AFCON YAZIDI KURINDIMA, ONANA AKIREJEA OLD TRAFFORD

Mkufunzi wa klabu ya Mancheter United Erik Ten Hag amethibitisha kuwa Andree Onana kipa wa Cameroon atarejea rasmi katika kikosi wiki hii na huenda akawa sehemu ya timu ya the Red Devils kwenye mechi ya ligi kuu nchini uingereza Alhamisi atakapokuwa wanachuana na Wolveshampton. Hii ni baada ya Cameroon kutimuliwa kutoka mashindano ya kombe la

AFCON YAZIDI KURINDIMA, ONANA AKIREJEA OLD TRAFFORD Read More »