UHISPANIA WATINGA FAINALI EURO, ARGENTINA IKIFUZU COPA AMERICA
Timu ya taifa ya Uhispania imejikatia tikiti ya kufuzu kuingia fainali ya mashindano ya Euro usiku wa kuamkia leo baada ya kuipiga ufaransa kichapo cha mabao 2-1. Katika mechi hiyo Lamine Yamal kinda mwenye umri wa miaka 16 anayechezea Barcelona aliingia katika historia ya mashindano hayo kwa kuwa mchezaji mchango zaidi kuwahi kufunga bao kwenye […]
UHISPANIA WATINGA FAINALI EURO, ARGENTINA IKIFUZU COPA AMERICA Read More »



