KDF WAMPANDISHA JEPKOSGEI CHEO KUTOKANA NA MATOKEO MAZURI KWENYE LONDON MARATHON
Uongozi wa vikosi vya usalama nchini Kenya maarufu kama KDF umempandisha cheo koplo Joyciline Jepkosgei hadi cheo cha usajenti kutokana na ufanisi wake katika mashindano ya London Marathon ambako alimaliza katika nafasi ya pili. Sherehe hiyo imefanyika katika makao makuu ya KDF ikiongozwa na mkuu wa majeshi Robert Kibochi lakini pia kiongozi wa masuala ya […]
KDF WAMPANDISHA JEPKOSGEI CHEO KUTOKANA NA MATOKEO MAZURI KWENYE LONDON MARATHON Read More »



