Michezo

ITALIA NA BRAZIL KUTANDIKANA KWENYE SEMI FAINALI ZA MPIRA WA WAVU

Mechi ya pili ya semi fainali za mashindano ya mpira wa wavu itakuwa inarindimwa hii leo katika taifa la Uholanzi majira ya saa mbili usiku. Ni mechi ambayo itakuwa inawakutanisha malkia wa brazil dhidi ya Italia ambapo mshindi kati yao atakuwa anakutana na Serbia katika fainali. Ikumbukwe Kenya ambayo ilikuwa inashiriki mashindano hayo ilitolewa katika […]

ITALIA NA BRAZIL KUTANDIKANA KWENYE SEMI FAINALI ZA MPIRA WA WAVU Read More »

MWANARIADHA WA UINGEREZA CJ UJAH APIGWA MARUFUKU YA MIEZI 22

Mwanariadha wa Uingereza mwite CJ Ujah amepigwa marufuku ya miezi 12 ya kutoshiriki mashindano yoyote kutokana na kupatikana na hatia ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli. Ujah mtimkaji ambaye amekiri kutumia dawa za Ostarine na S-23 marufuku hiyo sasa itamfanya kukosa mashindano ya olimpiki ya Paris yanayoandaliwa mwaka ujao 2023. Katika hukumu iliyotolewa na

MWANARIADHA WA UINGEREZA CJ UJAH APIGWA MARUFUKU YA MIEZI 22 Read More »