Nyota Wa Zamani Wa Harambee Stars Amkingia Kifua Cristiano Ronaldo
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Harambee Stars, Bonface Ambani amemtetea nyota wa klabu ya Manchester United, Cristiano Ronaldo baada ya klabu hiyo kutangaza kuwa hatashiriki mechi yao ya ligi dhidi ya Chelsea. Ambani ambaye aliwahi kuichezea klabu ya Yanga SC ya Tanzania msimu wa kati ya mwaka 2009 na 2010 , alitumia mitandao ya kijamii akisema […]
Nyota Wa Zamani Wa Harambee Stars Amkingia Kifua Cristiano Ronaldo Read More »



