MUUNGANO WA RAGA KRU WALALAMA UKATA WA FEDHA
Mkurugenzi mkuu wa mungano wa raga nchini Aggrey Wabulwenyi anasema muungano huo unakumbwa na changamoto ya kifedha kutokana na kutopata hela za kutosha kutoka kwa serikali kuu kufadhili masuala ya raga nchini. Akizungumza na kituo kimoja cha habari hapo jana, Wabulwenyi alisema jana la virusi vya Covid 19 liliwaathiri pakubwa ikizingatiwa kwamba wawekezaji pamoja na […]
MUUNGANO WA RAGA KRU WALALAMA UKATA WA FEDHA Read More »



