Michezo

KARIM MANDONGA KUSHIRIKI KATIKA PAMBANO LA KWANZA MAARUFU KENYA

Bondia maarufu kutoka taifa jirani la Tanzania mwite Karim Mandonga ameeleza matumaini yake kwamba atapokelewa kwa heshima kuu na rais wa taifa la Kenya William Samoei Ruto atakaposhuka katika uwanja wa ndege. Mandonga anatarajiwa kushuka ulingoni dhidi ya bondia Daniel Wanyonyi katika ukumbi wa KICC Tsavo Ballroom mjini Nairobi wikendi ijayo siku ya Jumamosi tarehe

KARIM MANDONGA KUSHIRIKI KATIKA PAMBANO LA KWANZA MAARUFU KENYA Read More »