Michezo

NIMEKUJA NA ‘SUGUNYO’ , WANYONYI ATAKUTANA NAYO JUMAMOSI – MANDONGA

Bondia maarufu kutoka nchini Tanzania Karim Mandonga amehakikishia mashabiki wake kwamba atapata ushindi katika pambano litakalofanyika wikendi ijayo katika ukumbi wa KICC mjini Nairobi. Akizungumza na wanahabari mjini Nairobi Mandonga amesema kwamba anafuraha sana kufika nchini Kenya na kupokelewa na mashabiki wake ambao amewaahidi kuwa atamtandika bondia wa kenya Daniel Wanyonyi kwenye mpambano utakaofanyika siku […]

NIMEKUJA NA ‘SUGUNYO’ , WANYONYI ATAKUTANA NAYO JUMAMOSI – MANDONGA Read More »

VIONGOZI WASHAURIWA KUPIGA JEKI VILABU VYA MASHINANI

Ipo haja ya viongozi waliochaguliwa kuwakilisha sehemu mbalimbali katika mkoa huu wa pwani kuingilia kati michezo mashinani ili kuokoa vipaji ambavyo huenda vikawa manufaa kwa jamii katika siku za usoni. Hii ni kulingana na Peter Mole mkufunzi mkuu wa Beach Bay ambayo inashiriki katika ligi ya daraja la pili kitaifa na amekariri kwamba ukata wa

VIONGOZI WASHAURIWA KUPIGA JEKI VILABU VYA MASHINANI Read More »

MATANO ASEMA BADO WAKO IMARA LICHA YA KUTOLEWA ULEVI NA BANDARI MOMBASA

Mkufunzi Mkuu wa Kikosi cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu nchini Kenya wanamvinyo  Tusker FC Robert Matano amesema anaamini bado watafanya vizuri licha ya kupoteza mchezo wao wa kwanza wa msimu. Mwalimu Matano amezungumza hayo baada ya vijana wake  kukutana na kipigo cha mabao 2-1 kutoka kwa vijana wa pwani Bandari FC ambapo amesema wataendelea

MATANO ASEMA BADO WAKO IMARA LICHA YA KUTOLEWA ULEVI NA BANDARI MOMBASA Read More »