Michezo

CHAPA DIMBA KUWAPA WACHEZAJI WENGI NAFASI

Nick Mwendwa ambaye ni rais wa shirikisho la soka hapa nchini amesema kwamba fkf imeanzisha mradi wa  kupeana mafunzo kwa marefa wengi pamoja na wakufunzi kama njia maoja ya kukuza mchezo wa soka hapa nchini. Mwendwa anasema mradi huo utakuwa wa manufaa pia katika mashindano ya Chapa dimba na safaricom yaliyoanza wikendi ilopita katika mkoa […]

CHAPA DIMBA KUWAPA WACHEZAJI WENGI NAFASI Read More »