MUUNGANO WA RAGA WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA
Muungano wa raga nchini Kenya umefanya uchaguzi wa viongozi wapya usiku wa kuamkia leo na Ian Mugambi amechaguliwa kama katibu mkuu wa muungano huo aliposhinda kura 18 mbele ya mpinzani wake wa karibu Raymond Olendo aliyepata kura 13. Moses Ndale ameibuka mshindi wa wadhifa wa naibu mwenye kiti kwa kupata kura 20 mbele ya Peris …
MUUNGANO WA RAGA WAFANYA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA Read More »