OMAX FC YAZIDI KUSELELEA KILELENI, FRUNZI IKIWA HATARINI
Vijana wa mkufunzi Juma Kalato Omax Fc wanazidi kuselelea kileleni mwa ligi ya Fkf katika daraja la pili baada ya jana kusajili ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Sparki katika Dimba la ugenini. Mechi nyingine ilochezwa jana ni ile ya Simba Apparel dhidi ya Kishada fc. Kishada katika uwanja wao wa nyumbani walionyesha ubabe kwa […]
OMAX FC YAZIDI KUSELELEA KILELENI, FRUNZI IKIWA HATARINI Read More »