AFCON YAZIDI KURINDIMA, ONANA AKIREJEA OLD TRAFFORD
Mkufunzi wa klabu ya Mancheter United Erik Ten Hag amethibitisha kuwa Andree Onana kipa wa Cameroon atarejea rasmi katika kikosi wiki hii na huenda akawa sehemu ya timu ya the Red Devils kwenye mechi ya ligi kuu nchini uingereza Alhamisi atakapokuwa wanachuana na Wolveshampton. Hii ni baada ya Cameroon kutimuliwa kutoka mashindano ya kombe la […]
AFCON YAZIDI KURINDIMA, ONANA AKIREJEA OLD TRAFFORD Read More »



