TONNY NGALA

EACC YAWATIA NGUVUNI MAAFISA WANANE WA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER KWA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI.

Maafisa wanane wa serikali ya kaunti ya Tana River wametiwa nguvuni na maafisa wa tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC kwa madai ya kushiriki kwenye ufisadi wa shilingi milioni 9. Akithibitisha hilo afisa wa mawasiliano katika tume hiyo Eric Ngumbi, amesema kuwa wanane hao ni kali ya washukiwa 14 ambao wanadaiwa kutoa […]

EACC YAWATIA NGUVUNI MAAFISA WANANE WA SERIKALI YA KAUNTI YA TANA RIVER KWA MADAI YA KUSHIRIKI UFISADI. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AONGOZA HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAWAZIRI WAPYA.

Rais William Ruto amewataka mawaziri wapya walio apashwa mda mfupi uliopita katika ikulu ya rais kujitenga na visa vya ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma katika utendakazi wao. Kwa mujibu wa rais Ruto, mawaziri hao wanapaswa kuwa kielelezo kwa viongozi wengine kwenye baraza la mawaziri nchini, kwani wamekuwa wakihuidumu katika serikali za awali. Kiongozi

RAIS WILLIAM RUTO AONGOZA HAFLA YA KUAPISHWA KWA MAWAZIRI WAPYA. Read More »

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATUMIA MFUMO WA KILIMO NYUNYIZI KUTATUA TATIZO LA BAA LA NJAA.

Serikali ya kaunti ya kilifi kupitia idara ya kilimo na uchumi wa rasilimali za bahari na maziwa inaendeleza mikakati ya kukabiliana na ukosefu wa chakula jambo ambalo limekuwa likishuhudiwa katika maeneo mbali mbali ya kaunti hii kwa muda mrefu. Kulingana na  waziri wa kilimo na uchumi wa rasilimali za bahari na maziwa Peterson Chula, idara

SERIKALI YA KAUNTI YA KILIFI YATUMIA MFUMO WA KILIMO NYUNYIZI KUTATUA TATIZO LA BAA LA NJAA. Read More »