TONNY NGALA

WAFUASI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA JINSIA NA UTAMADUNI AISHA JUMWA WAPONGEZA UTEUZI WAKE KWENYE BODI YA BARABARA NCHINI.

Baadhi ya wandani wa mwanasiasa Aisha Jumwa wamepongeza hatua ya rais William Ruto kumteua kiongozi huyo kuwa mwenyekiti wa bodi ya barabara humu nchini. Wakiongozwa na Abdrahman Omar, wamemtaja Rais Ruto kuwa kiongozi ambaye anayejali wakaazi wa kaunti za Pwani kutokana na hatua yake kumteua Jumwa kwenye wadhifa huo. Wakizungumza na wanahabari hapa mjini Malindi […]

WAFUASI WA ALIYEKUWA WAZIRI WA JINSIA NA UTAMADUNI AISHA JUMWA WAPONGEZA UTEUZI WAKE KWENYE BODI YA BARABARA NCHINI. Read More »

GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O.

Gavana wa kaunti ya Mombasa, Abdulswamaad Sharrif Nassir amekashifu vikali hatua ya mkaguzi mkuu wa bajeti Magaret Nyakang’o kuwataja magavana nchini kusitisha shughuli za utoaji wa basari. Kwa mujibu wa Shariff, serikali za kaunti zinapaswa kupewa nafasi ya kutumikia wananchi wake hasa katika masuala ya kufadhili elimu ya wanafunzi wanaotoka familia zisizo kuwa na uwezo

GAVANA WA MOMBASA APUUZA KAULI YA MKAGUZI WA BAJETI NCHINI MARGARET NYAKANG’O. Read More »

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA.

Aliyekuwa naibu wa Rais Rigathi Gachagwa amesema kuwa anaendeleza mipango ya kubuni chama chake cha kisiasa kitakacho jumuisha viongozi mbali mbali wa taifa hili. Gachagwa ambaye alikuwa akizungumza katika kaunti ya Laikipya, amesema kuwa bado anayeendelea kupokea maoni kutoka kwa wakenya, kuhusiana na kubuniwa kwa chama hicho. Kulingana na Gachagwa chama hicho kitatumika kutetea maslahi

ALIYEKUWA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGWA AENDELEZA MIKAKATI YA KUANZISHA CHAKE CHA KISIASA. Read More »