TONNY NGALA

TUME YA EACC YAAHIDI KUWAKABILI KISHERIA WAFISADI KWENYE IDARA YA MAHAKAMA NCHINI.

Tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC, imesema kuwa imeanzisha uchunguzi dhidi ya ufisadi unaodaiwa kuendelezwa na wafanyakazi wa tume ya idara ya mahakama JSC. Kwa mujibu wa EACC, hatua hiyo imetokana na suala la wakenya kulalamikia ongezeko la idadi ya wafanyakazi wa idara hiyo, ambao wamekuwa wakihusika kwenye visa vya ufisadi na […]

TUME YA EACC YAAHIDI KUWAKABILI KISHERIA WAFISADI KWENYE IDARA YA MAHAKAMA NCHINI. Read More »

WATOTO WA GREDI YA 6 KAUNTI YA KILIFI WADAIWA KUTOJUA KUSOMA NA KUANDIKA.

Imebainika kuwa idadi kubwa ya watoto walio gredi ya 6 na zaidi katika shule za umma kaunti ya Kilifi, hawajui kusoma na kuandika. Haya ni kwa mujibu wa waziri wa elimu kaunti ya Kilifi, Felkin Kaingu ambaye ameelezea kusikitishwa na hatua hiyo, ambayo ametaja kuwa chanzo cha kaunti ya Kilifi kusalia nyuma kielimu. Waziri Kaingu

WATOTO WA GREDI YA 6 KAUNTI YA KILIFI WADAIWA KUTOJUA KUSOMA NA KUANDIKA. Read More »

WAFUNGWA MAWAKOSA MADOGO NCHINI KENYA WATUMIKIA KIFUNGO CHAO INJE YA JELA.

Idara ya magereza nchini inasema zaidi ya watu elfu hamsini wanahudumu kifungo cha inje, kama njia mojawapo ya kupunguza msongamano kwenye magereza. Katibu wa idara ya kurekebesha tabia na magereza nchini Dkt Salome Beacco, amesema kuwa watu wanaofanya makosa madogo, wanarekebishwa tabia wakiwa nje ya magereza. Akizungumza katika kaunti ya Nakuru, katibu Salome amesema kuwa

WAFUNGWA MAWAKOSA MADOGO NCHINI KENYA WATUMIKIA KIFUNGO CHAO INJE YA JELA. Read More »