VIONGOZI WA CHAMA CHA WIPER KAUNTI YA MOMBASA WAIKOSOA SERIKALI YA KITAIFA.
Viongozi wa chama cha wiper kaunti ya Mombasa wameunga mkono kuidhinishwa kwa jopo la tume ya IEBC, litakalo endeleza mchakato wa kuwateua makamishna wa tume hiyo. Wanachama hao wametetea suala la chama hicho kuchelewesha uteuzi wa makamishna wa tume ya IEBC, kutokana na hatua ya wao kuwasilisha kesi kuhusiana na uteuzi huo mahakamani. Wakiongozwa na […]
VIONGOZI WA CHAMA CHA WIPER KAUNTI YA MOMBASA WAIKOSOA SERIKALI YA KITAIFA. Read More »



