SHUGHULI ZA BIASHARA YA USAFIRI WA UMMA ZA TAJWA KUDORORA MSIMU HUU WA SHEREHE.
Wahudumu katika sekta ya matatu kilifi mjini, kaunti ya kilifi wanalalamikia kudorora kwa biashara yao msimu huu wa sherehe kinyume na miaka ya hapo awali. Wakiongozwa na Fredrick Njuguna ambaye ni dereva wa matatu wamesema kuwa idadi ya wanaosafiri imepungua mno ikilinganishwa na hapo awali hali inayochangia kusambaratika kwa biashara yao. Njuguna amesema kuwa ugumu …
SHUGHULI ZA BIASHARA YA USAFIRI WA UMMA ZA TAJWA KUDORORA MSIMU HUU WA SHEREHE. Read More »