KUNA HAJA YA VIJANA NCHINI KUELIMISHWA KUHUSIANA NA BIASHARA.
Kuna haja ya vijana kupewa hamasa kuhusiana na mbinu mbali mbali za kujiendeleza kibiashara, kupitia miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali ya kitaifa katika maeneo yao. Haya ni kwa mujibu wa shirika la kibiashara la 20x, ambalo limeelezea kuwepo miradi mingi ambayo inaweza kuimarisha shughuli za kibiashara katika jamii. Akizungumza katika kaunti ya Kwale, kwenye […]
KUNA HAJA YA VIJANA NCHINI KUELIMISHWA KUHUSIANA NA BIASHARA. Read More »


