CHUO KIKUU CHA PWANI KINAKABILIWA NA MADAI YA ULAGHAI
Tume ya maadili na kukabiliana na ufisadi nchini EACC imeanzisha uchunguzi kuhusu madai ya kuwepo na ulaghai katika mchakato wa ununuzi katika chuo kikuu cha Pwani kaunti ya Kilifi. Kulingana na barua ambayo ilitumwa kwa naibu Chansela wa chuo hicho na afisa mkuu wa upelelezi Tabu Lwanga chuo hicho kinakabiliwa na madai ya kupendelea kampuni …
CHUO KIKUU CHA PWANI KINAKABILIWA NA MADAI YA ULAGHAI Read More »