RAIS MSTAAFU UHURU KENYATTA AYATAKA MATAIFA YA AFRIKA KUBUNI MBINU ZA KUJIWEZESHA KIUCHUMI.
Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, amewaonya viongozi wa bara Afrika dhidi ya kulalamimikia uamuzi wa Rais wa Marekani, Donald Trump kubadili sheria nchini humo, ambazo zitakuwa na athari kwa mataifa ya bara Afrika. Kwa mujibu wa Uhuru, licha ya mataifa ya Afrika kuwa na rasilimali nyingi zilizo na uwezo wa kufadhili mataifa hayo kiuchumi, masuala ya […]



