TONNY NGALA

WAHANDISI WAONYWA DHIDI YA KUPINGA UTEUZI WA AISHA JUMWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA BARABARA.

Mchanganuzi wa masuala ya kisiasa mjini Malindi kaunti ya Kilifi, Kenza Ondiek ameutaka muungano wa wahandisi nchini, kukoma kupinga uteuzi wa Aisha Jumwa, kuwa mwenyekiti wa bodi ya barabara, kwa madai ya kutokuwa na tajiriba hitajika. Kulingana na Ondiek, uteuzi wa Jumwa ni njia mojawapo ya serikali ya Kenya kwanza, kumpongeza kwa juhudi zake za […]

WAHANDISI WAONYWA DHIDI YA KUPINGA UTEUZI WA AISHA JUMWA KUWA MWENYEKITI WA BODI YA BARABARA. Read More »

KENYA YATARAJIWA KUATHIRIKA NA MAAMUZI YA TAIFA LA MAREKANI.

Taifa la Kenya linatarajiwa kubadilisha makadirio ya bajeti yake katika siku za usoni, ili kuziba mianya kwenye wizara ya afya, ambayo huenda ikashuhudiwa baada ya Marekani, kubadilisha sheria zake za ufadhili wa mataifa ya Afrika. Kulingana na katibu anaye husika na masuala ya matibabu katika wizara ya afya nchini Harry Kimtai, tayari serikali kuu imeanzisha

KENYA YATARAJIWA KUATHIRIKA NA MAAMUZI YA TAIFA LA MAREKANI. Read More »

NAIBU WA RAIS PROFESA KITHURE KINDIKI AMSUTA MTANGULIZI WAKE RIGATHI GACHAGWA.

Jukumu kuu la rais William Ruto sio kuongoza taifa la Kenya kwa mihula miwili. Ni kauli ya naibu wa Rais Profesa Kithure Kindiki, ambaye amemsuta aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, kutokana na kauli yake ya kuungana na viongozi wanaopinga uongozi wa Serikali ya Kenya kwanza, ili kuhakikisha kuwa Ruto hachukui hatamu ya uongozi kwa

NAIBU WA RAIS PROFESA KITHURE KINDIKI AMSUTA MTANGULIZI WAKE RIGATHI GACHAGWA. Read More »