TONNY NGALA

IEBC YASEMA IMEKAMILISHA MAANDALIZI YA SHUGHULI ZA CHAGUZI NDOGO NCHINI.

Tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC, imeelezea utayari wake katika kufanikisha shughuli za uchaguzi mdogo, wa nafasi mbali mbali za uongozi katika taifa hili. Kwa mujibu wa afisa mkuu wa tume hiyo Marjan Hussein Marajan, wamelazimika kuharakisha mikakati hiyo, ili kuwapatia makamishna wapya watakao chaguliwa wakati rahisi wa kutekeleza zoezi hilo. Katika taarifa […]

IEBC YASEMA IMEKAMILISHA MAANDALIZI YA SHUGHULI ZA CHAGUZI NDOGO NCHINI. Read More »

WAKENYA WASIFIWA KUWA WAFANYAKAZI BORA KATIKA MATAIFA YA ULIMWENGU.

Rais William Ruto amesema kuwa kuna haja ya taifa la Kenya kuwekeza zaidi katika elimu ya taaluma ambazo, huhitajika katika ajira za mataifa ya ulimwengu. Kulingana na Rais, Kenya ina idadi kubwa ya watu walio na uwezo wa kufanya kazi mbali mbali ulimwengini na kwa mda sasa taifa hili, limekuwa likisifiwa kwa kuwa na wafanyakazi

WAKENYA WASIFIWA KUWA WAFANYAKAZI BORA KATIKA MATAIFA YA ULIMWENGU. Read More »