RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUFANIKISHA UWEPO WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA YA AFRIKA.
Rais William Ruto ameahidi kufanikisha utendakazi wa mahakama ya umoja wa mataifa ya Afrika. Kulingana na Ruto, licha ya kukamilika kwa sheria hitajika za kuunzishwa kwa shughuli za mahakama hiyo mwaka 2019, bado utekelezwaji wake hauja fanikishwa. Ameongeza kuwa hatua hiyo imesababisha mataifa mengi ya Afrika kutopata haki dhidi masuala mbali mbali kwenye nchini hizo. […]
RAIS WILLIAM RUTO AAHIDI KUFANIKISHA UWEPO WA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA YA AFRIKA. Read More »



