GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU.
Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, ameibua madai ya kushurutishwa ajiuzulu na hata kuahidiwa shilingi bilioni bilioni mbili. Kulingana na Gachangwa, hatau yake kubanduliwa kwenye wadhifa wa naibu wa rais katika taifa hili, hauku zingatia sheria na ulichangiwa pakubwa na misimamo yake anayodai ilikuwa mikali dhidi ya serikali kuu. Akizungumza katika kikao na waandishi wa […]
GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU. Read More »



