TONNY NGALA

GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU.

Aliyekuwa naibu wa rais Rigathi Gachagwa, ameibua madai ya kushurutishwa ajiuzulu na hata kuahidiwa shilingi bilioni bilioni mbili. Kulingana na Gachangwa, hatau yake kubanduliwa kwenye wadhifa wa naibu wa rais katika taifa hili, hauku zingatia sheria na ulichangiwa pakubwa na misimamo yake anayodai ilikuwa mikali dhidi ya serikali kuu. Akizungumza katika kikao na waandishi wa […]

GACHAGWA AIBUA MADAI YA KUHONGWA BILIONI MBILI ILI AJIUZULU. Read More »

JAMII KAUNTI YA MOMBASA YATAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA VITA DHIDI YA UTUMIZI WA MIHADARATI.

Gavana wa kaunti ya Mombasa, Abdulswamad Sharif Nassir ametoa wito kwa viongozi kwenye jamii kaunti hiyo, kushirikiana ili kukuza talanta za vijana. Nassir amesema katika kufanya hivyo, watasaidia pakubwa vijana wengi ambao hupotoka kimaadili kwenye jamii na kujihusisha na utumizi wa mihadarati. GAVANA huyo aidha amewashauri vijana, kutohusisha talanta na utumizi wa mihadarati kwani itaathiri

JAMII KAUNTI YA MOMBASA YATAKIWA KUSHIRIKIANA KATIKA VITA DHIDI YA UTUMIZI WA MIHADARATI. Read More »

VIJANA ENEO LA RABAI KAUNTI YA KILIFI WASISITIZWA KUSOMEA TAALUMA ZA UBAHARIA.

Mbunge wa Rabai kaunti ya Kilifi, Kenga Mupe amewataka vijana katika eneo lake kukumbatia taaluma za mafunzo ya ubaharia, ili kunufaika na nafasi za ajira kwenye meli kimataifa. Kiongozi huyo ameahidi kuunga mkono vijana hao, kwa kuwasaidia katika kutafuta nafasi hizo za ajira, ili waweze kujiendeleza katika maisha. Akihutubia jamii katika eneo hilo Mupe, amewataka

VIJANA ENEO LA RABAI KAUNTI YA KILIFI WASISITIZWA KUSOMEA TAALUMA ZA UBAHARIA. Read More »