VIONGOZI WA ODM WAKASHIFU USHIRIKIANO WA CHAMA HICHO NA SERIKALI YA KENYA KWANZA.
Mpasuko Umeendelea kushuhudiwa Ndani Ya Chama Cha Odm Kuhusu Ushirikiano wake na Chama Cha Uda, Kwenye Mpango Wa Serikali Uliojumuisha Upinzani Serikalini. Baadhi Ya Wabunge Wamerushiana Cheche Kwenye Mkutano Wa Chama Hicho Kaunti Ya Kakamega. Kwenye Mkutano Huo, Mirengo Ya Wanaounga Mkono Uhusiano Wa Odm Na Serikali Na Wale Ambao Wanapinga Walikabiliana Kimaneno. Akizungumza kwenye […]
VIONGOZI WA ODM WAKASHIFU USHIRIKIANO WA CHAMA HICHO NA SERIKALI YA KENYA KWANZA. Read More »



