TONNY NGALA

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUPUNGUZA IDADI YA KAMPUNI ZA VILEO.

Naibu mwenyekiti wa baraza la magavana nchini Mutahi kahiga, ameitaka serikali kuu kupunguza kampuni zilizoidhinishwa kutengeza vileo nchini, ili kuzipiga jeki juhudi za serikali za kaunti, kupambana unywaji wa pombe haramu. Kwa mujibu wa Kahiga, ambaye pia ni gavana wa kaunti ya Nyeri, kumekuwa na ongezeko la idadi ya kampuni zinazouza pombe, licha yake kutoidhinishwa […]

SERIKALI YA KITAIFA YATAKIWA KUPUNGUZA IDADI YA KAMPUNI ZA VILEO. Read More »

GEORGE WAJACKOYA APENDEKEZA WASHUKIWA WA UFISAIDI NCHINI KENYA KUNYONGWA.

Kinara wa chama cha ROOTS George Wajackoyah amehidi kuidhinisha hukumu ya kuwaua kwa kuwanyonga wanasiasa watakao patikana na hatia ya kuhusika kwenye ufujaji wa fedha za umma. Kulingana Wajackoyah, serikali yake itaunda jopo maalum litakalo husisha maafisa wa polisi, katika vitengo mbali mbali vya usalama, ambao watashirikiana katika kufanikisha sheria hiyo ya kuwanyonga wafisadi. Wajackoyah

GEORGE WAJACKOYA APENDEKEZA WASHUKIWA WA UFISAIDI NCHINI KENYA KUNYONGWA. Read More »