TONNY NGALA

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 12 GEREZANI AU FAUNI YA SHILINGI MILIONI 53.5.

Mahakama milimani inayo sikiliza kesi za Ufisadi nchini imemhukumu aliyekuwa gavana wa kaunti ya Kiambu Ferdinand Waititu, kifungo cha miaka 12 gerezani, baada ya kupatikana na hatia ya ulaghai kwa kutoa zabuni ya Shilingi milioni 588 kufanikisha ujenzi wa barabara mwaka wa 2018 kinyume cha sheria. Waititu alipewa chaguo la kulipa faini ya shilingi milioni […]

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 12 GEREZANI AU FAUNI YA SHILINGI MILIONI 53.5. Read More »

WANAFUNZI 25 WAKAMATWA KWENYE OPARESHENI YA KUWASAKA WATOTO WALIO MITAANI KAUNTI YA TANA RIVER.

Jumla ya wanafunzi 25 katika kijiji cha Zobaki kule kaunti ya Tana River, wamekamatwa na viongozi wa idara ya usalama katika oparesheni ya kuwasaka watoto ambao, bado hawajende shuleni kufikia sasa. Kulingana na Chifu wa eneo hilo Saidi Komora, ambaye pia aliongoza opareshini hiyo kwa ushirikiano na wazee mitaa katika eneo lake, watoto waliotiwa nguvuni

WANAFUNZI 25 WAKAMATWA KWENYE OPARESHENI YA KUWASAKA WATOTO WALIO MITAANI KAUNTI YA TANA RIVER. Read More »

VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU WAITAKA SERIKALI YA KITAIFA KUONDOA USHURU WA TENDE MSIMU WA RAMADHAN.

Baraza la maimamu na wahubiri wa kiislamu nchini CIPK sasa linaitaka serikali kuondoa ushuru wa tende, wakati wa mwezi wa ramadhan, unaotarajiwa kuanza mapema mwezi ujao. Kulingana na mwenyekiti wa baraza hilo kitaifa Sheikh Ibrahim Abdallah Ateka, lengo kuu la mataifa ya kiarabu kutuma tende, ni kutoa msaada kwa waumini wa dini hiyo, wasiokuwa na

VIONGOZI WA DINI YA KIISLAMU WAITAKA SERIKALI YA KITAIFA KUONDOA USHURU WA TENDE MSIMU WA RAMADHAN. Read More »