VIONGOZI WA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUSHIRIKIANA.
Kuna haja ya viongozi wa serikali ya kaunti ya Tana River kushirikiana katika kutatua changamoto ya utumizi mbaya wa fedha za umma katika kaunti hiyo. Ni kauli ya Seneta wa kaunti ya Tana River, Danson Mungatana ambaye amesema kuwa hatua hiyo itasaidia pakubwa katika kuboresha shughuli za utendakazi wa serikali ya kaunti hiyo. Mungatana amesema […]
VIONGOZI WA KAUNTI YA TANA RIVER WATAKIWA KUSHIRIKIANA. Read More »



