TONNY NGALA

WANAHABARI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAANDAMANA DHIDI YA WAZIRI WA AFYA KAUNTI HIYO.

Wanahabari kaunti ya Taita Taveta wamefanya maandamano ya amani kupinga matamshi ya waziri wa afya wa kaunti hiyo Gifton Mkaya, wakiyataja kuwa ya vitisho, uongo na yenye njama ya kuharibu sifa ya vyombo vya habari. Wanamshutumu waziri Mkaya, kwa kudai kuwa waandishi wa habari wamekuwa wakidai pesa, ili kuangazia sekta hiyo ya afya, ambayo imezidi […]

WANAHABARI KAUNTI YA TAITA TAVETA WAANDAMANA DHIDI YA WAZIRI WA AFYA KAUNTI HIYO. Read More »

WATALII ELFU MOJA WAWASILI ENEO LA PWANI KUPITIA BANDARI YA MOMBASA.

Huenda sekta ya utalii eneo la Pwani ikaboreka hata zaidi, baada ya jumla ya watalii elfu moja, kuwasili katika Ukanda huu kupitia bandari ya Mombasa. Akithibitisha hilo, mkurugenzi mkuu wa bandari ya KPA mjini Mombasa nahodha William Ruto, amesema kuwa wapo tayari kupokea meli nyingi zaidi, zilizo na watalii wengi wakao saidia uchumi wa eneo

WATALII ELFU MOJA WAWASILI ENEO LA PWANI KUPITIA BANDARI YA MOMBASA. Read More »

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AKATA RUFAA DHIDI YA HUMU YA MIAKA 12 GEREZANI.

Aliyekuwa Gavana wa kaunti ya Kiambu Ferdinand Waititu, amewasilisha rufaa ya kupinga uamuzi wa kumhukumu kifungo cha miaka 12 jela kutokana na kesi ya ufisadi ya Shilingi milioni 588. Katika nakala zake alizowasilisha katika Mahakama Kuu ya Kupambana na Ufisadi Milimani, kupitia wakili wake Danstan Omari, Waititu amemkashifu hakimu Thomas Nzyoki, kwa kutochanganua kikamilifu ushahidi

ALIYEKUWA GAVANA WA KIAMBU FERDINAND WAITITU AKATA RUFAA DHIDI YA HUMU YA MIAKA 12 GEREZANI. Read More »