HOSPITALI ZA KIBINAFSI NCHINI ZIMEONYWA DHIDI YA KUSUSIA UTUMIZI WA SHA.
Wizara ya afya nchini imewaonya wamiliki wa hospitali za kibinafsi dhidi ya kutotoa huduma za matibabu kwa wananchi, wanaotumia bima ya mamlaka ya SHA. Katibu wa huduma za matibabu kwenye wizara hiyo Harry Kimutai, amesema kuwa serikali bado imeshikilia msimamo wake, wa kulipa madeni bima ya awali ya NHIF kwa hospitali hizo. Kimtai aidha ametishia […]
HOSPITALI ZA KIBINAFSI NCHINI ZIMEONYWA DHIDI YA KUSUSIA UTUMIZI WA SHA. Read More »



