TONNY NGALA

VIJANA TISA WANAO KISIWA KUWA WAHALIFU WAKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI KAUNTI YA KWALE.

Maafisa wa polisi eneo  Diani kaunti ya Kwale, wamefanikiwa kuwakamata washukiwa  9  wa uhalifu, wanaowahangaisha wenyeji kwa kuwakata mapanga na kuwapora mali zao katika maeneo ya Diani na Ukunda kaunti hiyo. Tisa hao waliokuwa wamejihami kwa silaha, wametiwa mbaroni  usiku wa kuamkia leo, katika maeneo tofauti huko Diani, nakufikisha idadi ya wahalifu waliokamatawa tangu oparesheni hiyo ilipoanza […]

VIJANA TISA WANAO KISIWA KUWA WAHALIFU WAKAMATWA NA MAAFISA WA POLISI KAUNTI YA KWALE. Read More »

RAIS WILLIAM RUTO AENDELEA KUWASUTA WAPINZANI WAKE MLIMA KENYA.

Rais William Ruto amewasuta baadhi ya wapinzani wake katika eneo la Mlima Kenya, kwa madai ya kutaka kuwagawanya wakenya kwa misingi ya ukabila. Kiongozi wa taifa amewaonya wakenya dhidi ya kuhadaiwa na viongozi na kukubali kushiriki siasa za migawanyiko, kwani zitachangia katika kulemaza maendeleo kwa jamii. Akizungumza katika eneo la Mbeere kaunti ya Embu, Rais

RAIS WILLIAM RUTO AENDELEA KUWASUTA WAPINZANI WAKE MLIMA KENYA. Read More »