‘MLIMA UNAWENYEWE’ ASEMA GAVANA WA KAUNTI YA NYERI MUTAHI KAHIGA.
Huku rais William Ruto akiendeleza ziara yake katika eneo la Mlima Kenya, viongozi wa eneo hilo wamemtaka kiongozi huyo wa taifa, kufahamu kuwa sio kiongozi mkuu wa siasa za eneo hilo, la Mlima. Wakiongozwa na gavana wa kaunti ya Nyeri, Mutahi Kahiga amesema hatua ya Ruto kuwa kiongozi wa taifa na kuanzisha miradi eneo hilo, […]
‘MLIMA UNAWENYEWE’ ASEMA GAVANA WA KAUNTI YA NYERI MUTAHI KAHIGA. Read More »



