TONNY NGALA

RAIS RUTO AWATAKA WAPINZANI WAPI KUUZA SERA ZAO KWA WANANCHI.

Rais William Ruto ameonya baadhi ya wapinzani wake dhidi ya kuendeleza kampeni za kukashifu uongozi wake. Kulingana na Ruto, baadhi ya wapinzani wake wamekosa sera maalum za kushawishi wananchi wa taifa hili, kuwapigia kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Akizungumza katika siku ya kwanza ya ziara yake kule kaunti ya Laikipya, katika eneo la

RAIS RUTO AWATAKA WAPINZANI WAPI KUUZA SERA ZAO KWA WANANCHI. Read More »

MAHAKAMA YA HARAMISHA AGIZO LA SERIKALI KUHUSIANA NA MALIPO YA KARO KUPITIA MTANDAO WA ECITIZEN.

Serikali ya kitaifa imepata pigo baada ya Mahakama Kuu, kuamua kuwa agizo la kuwataka wazazi kulipa karo kupitia mfumo wa eCitizen ni kinyume cha sheria. Mnamo Januari 2024, aliyekuwa Katibu Mkuu wa Elimu Belio Kipsang, kupitia waraka aliagiza malipo yote ya karo ya shule za umma, yafanywe kwenye mfumo huo. Jaji Chacha Mwita, akitoa uamuzi

MAHAKAMA YA HARAMISHA AGIZO LA SERIKALI KUHUSIANA NA MALIPO YA KARO KUPITIA MTANDAO WA ECITIZEN. Read More »